Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
- Thread starter
- #61
Mfukunyuzi hali yake ikoje kwa sasa pls update
He is doing well now but still admitted
Mfukunyuzi hali yake ikoje kwa sasa pls update
Kuna tuhuma niliwahi kuzisikia siku nyingi kidogo super coach ana kale kaugonjwa kasikokuwa na chonjo wala tiba.
Mziray is still alive na hali yake sio mbaya anaendelea na matibabu pale Regency Hospital
Mungu usimchukue kwanza atupigie kura 31 Oct 2010
bado hajafa tu
jamani si uungwana. Tumtakie matashi mema mwenzetu mgonjwa.
Get well soon mziray
bado hajafa tu
bado hajafa tu
Si haki na wala si uungwana kumtakia mwenzako kifo! Watu kama wewe tunakuwa na wasiwasi nao. Yaani wewe kuvaa bomu wala hufikirii. Na ukitangulia wewe kabla ya Mziray.bado hajafa tu