Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
taifa staz inateremka leo dimbani kukutana na jamhuri ya africa ya kati huku kocha mkuu wa timu ya taifa Mr poulsen akijisafisha na kutotaka kubeba lawana m, huyu kocha amejihakikishia kabisa kuwa hana uhakika kuwa atashinda
ila yeye alisema hivi
ila badae akasema kuwaKocha Poulsen amesema hana uhakika kama atashinda mechi hiyo kutokana na ubora wa kikosi cha Jamhuri ya Kati, lakini hawana budi kupambana na kukubaliana na matokeo yoyote!!!
Jamhuri Kiwelu (JK) naye anashuka dimbani kupambana na timu ya nigeria huku akimkosa Samatta ,Kado na NgasaHata hivyo, Poulsen alisema anatarajia kupata matokeo mazuri kupitia mshambuliaji wa TP Mazembe, Mbwana Samata na kipa Shabaan Kado.
!!!
ila yeye alisema hivi
matokeo:Tanzania U23 1- Nigeria U23-O (game over) Goli limefungwa a Ulimwengu dk ya 83ìTimu ipo katika hali nzuri kabisa tayari kwa kukabiliana na Nigeria siku ya Jumapili licha ya kuwakosa baadhi ya nyota ambao wmeondoka na Taifa Stars.
!!!