Poa...... nami ngoja nimtafute wangu wa kunimisiMmmhhhh babu... Sisemi.... We muulize siku ukim visit Jela..Ila mpaka arudi ntabaki hivi...
Afu nani tena anakuuzi wakati niko around? sema nimhamishie kikojoleo chake kwenye paji lake la uso.........BjBj... leo umem-quote AshaDii a.k.a Faiza Foxy wa MS???? In a thread hata sio yako???
Wonders never seize... thot hata hunifahamu...lol... Kweli tambiko la Babu Asprini sio mchezo!! Dah!
Sasa ngoja nifikirie katika assumptions zangu za ID unaingia ipi.... alafu will be back!!
Afu nani tena anakuuzi wakati niko around? sema nimhamishie kikojoleo chake kwenye paji lake la uso.........
Dah!!! Halafu inabidi niende na mkalimani wale mapolisi wanaongea kilugha tu, halafu nimeambiwa Klorokwin hajala siku 2 inabidi niende na chakula kabisa ngoja nimfanyie donation ya kumnunulia chakula lolz
Orayt..........thats my girlie........ afu ni kwanini leo hujanipa shkamoo yangu?ha ha ha.... Babu, ukisoma tu sig yangu utagundua hajaniudhi... wori not babu...
when really needed AshaDii kwa mbio zooote kwako... hapa nikitaka kuweza
wacha nifanye kwanza hii ninayochangia kidogo ndani kwangu....lol
Haahahahha Babu usinune aee naomba.. Mie kila siku nakuletea ugoro Na maziwa... nahakikisha mkongojo.. Upo upande wa kulia wa kiti chako.. Lakini khaaaaa umeanza kuwa na jeuri.. Naona sababu unawengi wa kuwakagua.. Na umetutupa wajukuu wa zamani.. Kwa hiyo nime nunaPoa...... nami ngoja nimtafute wangu wa kunimisi
Wajukuu wa zamani ni orijinale........ hatupwi hata mmoja......! Wewe tena?Haahahahha Babu usinune aee naomba.. Mie kila siku nakuletea ugoro Na maziwa... nahakikisha mkongojo.. Upo upande wa kulia wa kiti chako.. Lakini khaaaaa umeanza kuwa na jeuri.. Naona sababu unawengi wa kuwakagua.. Na umetutupa wajukuu wa zamani.. Kwa hiyo nime nuna
ngoja tumtafute acid arudiFrom gossip nimesikia JF intelligence inasumbuliwa na Malaria Sugu
hivyo Klorokwini kaenda kuongeza ukali na ubora... And pia kua wako
in harmony kabisa na Asprini, Tablet, Fellow Tablets hata Quinin na
na Tablet Fellow (TF)... Ila tu ana biffu na Sulphadoxine....
nipo juzi, jana na leo..........From gossip nimesikia JF intelligence inasumbuliwa na Malaria Sugu
hivyo Klorokwini kaenda kuongeza ukali na ubora... And pia kua wako
in harmony kabisa na Asprini, Tablet, Fellow Tablets hata Quinin na
na Tablet Fellow (TF)... Ila tu ana biffu na Sulphadoxine....
Pitishia Libya afu Igunga kwa Rostam Aziz.....Teh teh teh Leo nakuletea ugoro wa dukani.. Special kama ule wa X- mass
Haahahahha Babu usinune aee naomba.. Mie kila siku nakuletea maziwa... nahakikisha mkongojo.. Upo upande wa kulia wa kiti chako..
Hi ahsadiiha ha ha.... Babu, ukisoma tu sig yangu utagundua hajaniudhi... wori not babu...
when really needed AshaDii kwa mbio zooote kwako... hapa nikitaka kuweza
wacha nifanye kwanza hii ninayochangia kidogo ndani kwangu....lol
Yesu maria na yosefu!!!!!!!!!!!!!!!
aisee....:clock:
mkuu naogopa sasa, yani binti anakuletea 'maziwa', kama haitoshi anahakikisha 'mkongojo wako' uko right side
Sindano ndogo ishonayo makoti....