Dahhh yaani Amani ya JF inatingishwa Kiasi hicho.. Klorokwini rudi... Dahhh hivi hata Asprin inagoma siku hizi.. Na mzee wa lolliondo yuko wapi.?From gossip nimesikia JF intelligence inasumbuliwa na Malaria Suguhivyo Klorokwini kaenda kuongeza ukali na ubora... And pia kua wakoin harmony kabisa na Asprini, Tablet, Fellow Tablets hata Quinin nana Tablet Fellow (TF)... Ila tu ana biffu na Sulphadoxine....
Dahhh yaani Amani ya JF inatingishwa Kiasi hicho.. Klorokwini rudi... Dahhh hivi hata Asprin inagoma siku hizi.. Na mzee wa lolliondo yuko wapi.?
Hahahaha Ingekuwa we ndio unatafutwa Ye angesea hivyo... Sijui mna visa gani lohhhhhKlorokwin bwana yuko selo alishikwa pale mitaa ya Kona Baa baada ya kuondoka na mdada mmoja akashindwa kumlipa, ndio natafuta hela nikamtoe kule Tandale anakoishi wamegoma kabisa kumchangia
Dah!!! Halafu inabidi niende na mkalimani wale mapolisi wanaongea kilugha tu, halafu nimeambiwa Klorokwin hajala siku 2 inabidi niende na chakula kabisa ngoja nimfanyie donation ya kumnunulia chakula lolzHahahaha Ingekuwa we ndio unatafutwa Ye angesea hivyo... Sijui mna visa gani lohhhhh
Kagoda, Caspian na VodacomAisee kudadadeki........
Ngoja nimtwangie fellow tablet wangu. Kumbe anamisiwa hivi? Mara ya mwisho nlionana naye mahakama ya Kisutu kwenye ile kesi yake ya ubakaji wa kabinti ka standard foo. Kiukweli nimemmisi hata mimi hasa kwenye taarab ya Melody........ jamaa kwa vidole juu nimemvulia kofia.
Hivi Rostam ni mbunge wa wapi vile?
Ashadiii a.k.a Faiza Foxy wa MSFrom gossip nimesikia JF intelligence inasumbuliwa na Malaria Suguhivyo Klorokwini kaenda kuongeza ukali na ubora... And pia kua wakoin harmony kabisa na Asprini, Tablet, Fellow Tablets hata Quinin nana Tablet Fellow (TF)... Ila tu ana biffu na Sulphadoxine....
Hivi food bank imeishiwa na chakula?? Nway hizi story zako ni kama siziamini hivi..MmmhhhhDah!!! Halafu inabidi niende na mkalimani wale mapolisi wanaongea kilugha tu, halafu nimeambiwa Klorokwin hajala siku 2 inabidi niende na chakula kabisa ngoja nimfanyie donation ya kumnunulia chakula lolz
Babu me miss Klorokwin sana.. Asprin inadunda tu sijui niongeze dozi.. Au nibadili kabisa.. Nasubiri ushauri wa Doctor ..Aisee kudadadeki........Ngoja nimtwangie fellow tablet wangu. Kumbe anamisiwa hivi? Mara ya mwisho nlionana naye mahakama ya Kisutu kwenye ile kesi yake ya ubakaji wa kabinti ka standard foo. Kiukweli nimemmisi hata mimi hasa kwenye taarab ya Melody........ jamaa kwa vidole juu nimemvulia kofia.Hivi Rostam ni mbunge wa wapi vile?
Mi hapo ndo wivu unapotakaga kuniua......... huyu swahiba wangu anakupaga nini? Limjamaa lina zali kweli asee....mbona mi hunimisigi?Babu me miss Klorokwin sana.. Asprin inadunda tu sijui niongeze dozi.. Au nibadili kabisa.. Nasubiri ushauri wa Doctor ..
Ashadiii a.k.a Faiza Foxy wa MS
Dahhhh Bora arudi tu kwakweliHizi rumours zimezidi.. Inayonitisha ni hiyo ya TF..