KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Point huu ni mwaka wa shetani kwa baadhi ya vyama -CCM), MMJk, may 2008
Nipe tarehe na mimi nitakuwapo hapo Columbus.kazi nzuri Mushi.. keep it up!!!! Make sure... we meet when I come to Columbus...
Mwanakijiji,
Hao waliotaka barua sio E&Y na badala yake ni wale Makaburu (Deloitte & Touche). E&Y wamekuja baadaye kwenye uchunguzi kama sijakosea.
Mwanakijiji anafaa kuwa mwalimu maana kama kafanikiwa kumwelewesha jmushi1, kazi kweli imefanyika kwi kwi kwi!!!
Atawekaje namba moja peke yake kama ni watu wengi wanatakiwa wapige simu?
Mushi vipi tena mjomba?Uelezejwe?
Mbona unaendesha ligi mkuu.Si upunguze japo kidogo kupost maswali tuuu ili utushushie facts kama zipo.
Samahani mkuu ila imefika mahali tunachoka kuona jambo imegeuka chat room
wewe nawe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!uwekwe kundi gani sijui maana hata la kwenye wachukia ufisadi humo sijui huko kwa wapenda ufisadi may be umo
Mama
JF Senior Expert Member
Join Date: Mon Mar 2008
Posts: 442
Rep Power: 21
Thanks: 140
Thanked 177 Times in 114 Posts
Credits: 16,095
Re: Mama Salma Kikwete atesa na ndege ya Rais,JK aikwepa...
Quote:
Originally Posted by Mtanganyika
Mama anakwenda kufungua mechi kwa kupiga penalt, nini tatizo jamani? Alipanda kandege kuona kana taste gani?
Muacheni mama wa Kwanza ale dunia. Jamani hizo habari za Bi Asha ni kweli?
hata kama habari za asha ni kweli, anayetakiwa kuumia ni salma mwenyewe, kama salma karidhika wengine pilipili iko shamba twawashwa je ikiingia ndani ya nyumba
__________________
If you must drink and then drive, drink milk.
Mama naona sasa unafuatilia watu bila msingi nime notice!
Naomba uchukue time zalo kama huna cha kuuliza.
Ni kivipi unaona hayo uliyoyasema hapo juu.
Na wewe uko kundi gani pale ulipokuwa unatetea matumizi mabaya ya ndege ya Rais yaliyofanywa na Mama?
Ulisema "Pili pili wasiyoila inawawashia nini"
Naomba niigeuze kauli hiyo uliyoitumia kwa wenzako sasa nakurudishia wewe...Pili pili usiyoila Mama...
mushi unatatizo moja kubwa ambalo ni kujibu kila mtu "dry". tabia hiyo haikuweki pazuri, na itapunguza watu kuthamini michango yako hapa JF.
sometime silence is "a better" answer kuliko kujibizana na kila mtu.
Umeangalia alichosema Mama ama na wewe unatake sides?
what if u dont aswer mama, utapungua popote? hasa kumjibu mama kwa kuchukuwa post zake kutoka thread nyengine.
some ppl are better left answered......
Ok guys lets move forward...Tunamsubiria mkuu MKJJ on whats next naamini bado tuko kwenye hali ya kitahadhari tahadhari kuwa sasa whats next.
Wote mnakumbuka kuwa MKJJ alitutaka tuwasiliane na viongozi wetu kama wabunge etc ili kuhakikisha kuwa haki inatendeka kwenye uchunguzi wa kifo pamoja na suala zima la EPA.