Atawekaje namba moja peke yake kama ni watu wengi wanatakiwa wapige simu?
Poleni na matatizo ya kiufundi. Nimejaribu kupiga simu mara kadhaa bila mafanikio.
Next time...
Ulichangia kununua namba nyingi au unadhani zinapatikana bure... ?
Mwanakijiji,
Siku hizi taratibu unaanza kuwa mwamba kwi kwi kwi!!! Jifunze taratibu toka kwa mkuu FMES.
simu ilikuwa na matatizo.. namba imeexpire!!!!
Namba ya sasa ni 312 957 6014
Jmushi1
sasa si uandike highlights za kinachoongelewa na nani anaongea. Unachoandika hakitusaidii tusio-access klhnews