Naomba nifikishiwe hili swali...Kwanini wale wote waliopiga signature kwenye paper trail ya approval hawajakamatwa?
Na hii si ndio maana Ballali hakuhojiwa?
Kama Kweli Paper Work Na Document Vitatumika Kama Ushahidi..kwanini Hao Waliopiga Hizo Signature ama kuhusika na approval ya pesa kutolewa Hawajakamatwa?
Anajibu kisiasa siasa tu na wafuasi wake sijui wapi huko!
Anawapigia zogo lile lie analowapigia kila siku!
Sehemu atakayo jitetea ni kwenye madai kuwa hawezi kumtaja mtu aliyemwambia!
Hayo mambo ya Dumisani Dube na Sokoine ni mwaka 1984 na ni Tanzania..Sasa ni Ballali na Marekani mwaka 2008! Ni tofauti kubwa sana huyu MKJJ kweli aendelee kuwaburuza hao hao!
Mi nimegoma!
Mkuu kwa nini unasema hivyo? Mimi nampa big up!, mwanakijii yuko kwenye field sisi tuko kwenye nadhalia,. usitegemee makubwa zaidi ya anayoyafanya mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.