Ooh Yeah, but he's comical, ain't he?!
SteveD.
Alivyokuwa anaongea utadhani yuko kijiweni anapiga story za yanga na simba...Mwanakijiji siku moja fanya juu chini umpate Lowassa na Membe as well(nina uhakika balozi zetu sidhani kama ziko tayari kujibu hizi tuhuma pindi wakiulizwa).
Membe yes, lakini ninavyojua Mkjj na EL sidhani kama wataweza kuja ongea tena... wametungiana mashairi mengi mno ya kupingana.
SteveD.
Membe yes, lakini ninavyojua Mkjj na EL sidhani kama wataweza kuja ongea tena... wametungiana mashairi mengi mno ya kupingana.
SteveD.
Mbona mna kiherehere? chuki nyingine za ajabu sana watu badala ya kujadili anachosema mnajadili lahaja na lafidhi ya waziri. Naona mnashindana nani mpondaji zaidi... JF usanii tu
yule bwana alikuwa ananichekesha sana...