Huyu jamaa hajibu kitu chochote ni myeyushaji tu, sidhani kama anaweza kuongea cha maana.
Comical Ali On Air
huyu braza Khatibu naye mtu wa pwani nini, mjanja njanja sana wa maneno, ...anamtoa mwkjj kwenye mada kwa majibu ya juu juu... kaaazi kweli kweli!.