William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mkuu Nyangumi heshima mbele, unajua wewe ukiwa na haya maoni mazito hivi, basi sio vibaya ku-call a day, kuliko kuendelea kulishwa sour grapes!
Mkuu Kuhani,
Strong analysis, lakini kumbuka kuwa bongo au duniani sio viongozi wote wana akili perfect ya siasa kama wewe mkuu!
Mkuu Kuhani,
Strong analysis, lakini kumbuka kuwa bongo au duniani sio viongozi wote wana akili perfect ya siasa kama wewe mkuu!