Kizungumkuti....

mzawahalisi

JF-Expert Member
Jan 11, 2010
752
237
Hivi wadau naomba tulijadili hili, kuwa na mpenzi mmoja umpendaye na umwamini ama kuwa mpita njia, yaani ''hit n run philosophy''
Mafundisho ya taasisi mbalimbali yanatuambia kuwa na mpenzi mmoja na mwaminifu ni vyema na itatulinda dhidi ya maambukizi ya ukimwi. Ukija upande wa pili yaani elimu mitaani.com wanatuambia ni bora kuwa mtu hit nrun kwani huto mwamini mtu, hivyo kuwa makini wakati wote na kujilinda kila mara.
 
kila moja faida na hasara...sasa wewe pima na uone ipi inakufaa wewe. mie penda hit n run maana nina wivu kupitiliza hivyo nikiwa katika relation nitakuwa na mawazo sanaaa
 
we unataka mafundisho ya taasisi mbali mbali au ya mitaani.com? Nafikiri jibu unalo!
 
Mhhhh, no strait cut answer. Hamna aliye tayari kudefend moja kwa moja upande mmoja. Right now ninaye mmoja tu ninaye mwamini, but sometimes nakumbuka kuwa mwanadamu hatabiriki, inawezekana akazidiwa ujanja akatembea na mtu mwingine na ni wazi kuwa hawezi kuja niambia hvyo atanificha na inawezekana akaniweka katika hali hatarishi. Life is so chalenging.
Actualy maisha halisi siyo kama nilivyo ya conceive kichwani, '' the perfect life'' does not exist in this world.
 
Ukikua utagundua kuna wakati unafika u can't hit as hard, neither can u run as fast as u used to. Sasa utaishia kuhit na kurun na dhaifu chenzio.
kila moja faida na hasara...sasa wewe pima na uone ipi inakufaa wewe. mie penda hit n run maana nina wivu kupitiliza hivyo nikiwa katika relation nitakuwa na mawazo sanaaa
 
Back
Top Bottom