Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
CC ya CCM sasa yabariki rasmi UDINI kuwa ni sera yake ya kitaifa baada ya wao kulikwepa kulikemea kama walivyofanya CUF, NCCR-Mageuzi na CHADEMA.
Cha ajabu hata chombo chao binafsi cha UVCCM nacho kilikwepa kulikemea hii sera mpwa ya baba yao kutugawa kitaifa kwa misingi ya imani zetu na sisi tunasema; HUGAWANYIKI, HATUDANGANYIKI na Utaifa mbele kama tai tunapodai haki zetu!!!!
Cha ajabu hata chombo chao binafsi cha UVCCM nacho kilikwepa kulikemea hii sera mpwa ya baba yao kutugawa kitaifa kwa misingi ya imani zetu na sisi tunasema; HUGAWANYIKI, HATUDANGANYIKI na Utaifa mbele kama tai tunapodai haki zetu!!!!