Mkama, na wewe huafiki DOWANS kulipwa mkuu? Unadhani nini kifanyike kuhakikisha hawalipwi hawa jamaa? Nani anaweza kuhakikisha move ya kuzuia malipo yao inafanyika?
BTW, heri ya mwaka mpya mkuu
Mkama, na wewe huafiki DOWANS kulipwa mkuu? Unadhani nini kifanyike kuhakikisha hawalipwi hawa jamaa? Nani anaweza kuhakikisha move ya kuzuia malipo yao inafanyika?
BTW, heri ya mwaka mpya mkuu
.Kamati kuu ya CCM imeshapitisha uamuzi wa kuilipa Dowans unafikiri nini kitazuia malipo zaidi ya maandamao ya watanzania wenye uchungu na nchi yao Tanzania nzima,kwa kasi wanayokwenda nayo hata bunge halitaweza kuwazuia.
Zaidi ya Utaratibu wa Mahakama hakuna jinsi nyingine kwa sasa kuzuia tendo hilo.
Utashi wa kisiasa kwa maana ya chama tawala umebariki jambo hili kwa mbwembwe na kibri!
Juhudi za mtu mmojammoja kama anavyoshauri bwana MkamaP ni peanuts, na grand effect yake ni negligible kama siyo negative!
Kama dowans watalipwa na mimi silipi mkopo walionipa kwa ajili ya elimu ya juu...Eeh nimegoma kwa staili hiyo. Mahakamani siendi, kujitia mafuta sijitii. Ila silipi.
Kama na wewe unadaiwa ungana na mimi kutolipa, kama kweli sote tuna machungu na nchi.
We usilipe kwanza ukione kilichomtoa kanga manyoya mgongoni.
Kamati kuu ya CCM imeshapitisha uamuzi wa kuilipa Dowans unafikiri nini kitazuia malipo zaidi ya maandamao ya watanzania wenye uchungu na nchi yao Tanzania nzima,kwa kasi wanayokwenda nayo hata bunge halitaweza kuwazuia.
Wanasiasa wanafurahia sana wananchi mnapoonekana mme-give up na kukiri HAMNA LA KUFANYA.Zaidi ya Utaratibu wa Mahakama hakuna jinsi nyingine kwa sasa kuzuia tendo hilo.
Utashi wa kisiasa kwa maana ya chama tawala umebariki jambo hili kwa mbwembwe na kibri!
Juhudi za mtu mmojammoja kama anavyoshauri bwana MkamaP ni peanuts, na grand effect yake ni negligible kama siyo negative!
Mkama, na wewe huafiki DOWANS kulipwa mkuu? Unadhani nini kifanyike kuhakikisha hawalipwi hawa jamaa? Nani anaweza kuhakikisha move ya kuzuia malipo yao inafanyika?
BTW, heri ya mwaka mpya mkuu
Mi nathani nitham ya woga ndio inagarimu watu kutokupata haki yao na ndio maana wakubwa wengi wanatumia nafasi hii kuchukua hata kile tunachozani tunacho n kujinufahisha.....
PAMOJA TUTAIJENGA NCHI YETU