Kizibo: Halooo (akipiga simu kwa mwalimu wake)
Mwalimu: Haloo
Kizibo: Namwombea ruhusa Kizibo hawezi kufika shuleni leo
Mwalimu: Naongea na nani?
Kizibo: Unaongea na (baba yake!)
Kizibo: Halooo (akipiga simu kwa mwalimu wake)
Mwalimu: Haloo
Kizibo: Namwombea ruhusa Kizibo hawezi kufika shuleni leo
Mwalimu: Naongea na nani?
Kizibo: Unaongea na baba yake!