aisee kweli huyu mseveni naye muda utafika atavuna alichopanda kuna mtu alijua gadaf atakuwa hapo alipo na majeshi ya nato? Ila kize besigye sema tu katiba ya chama chake aimruhusu kugombea tena ila kama angegombea tena ingekuwa powa sana ila ni mwanasiasa makini na asiyeogopa pamoja na manyanyaso yote hayo lakini alikomaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.