Kizazi kijacho ni damu ya Mchina na Mswahili.

Hata ukienda mashamba ya mkonge na chai utakuta machotara ya kikabila, wengi wao Wanyamwezi, wasukuma, makabila ya tanga, etc. Kwa nini hatukubali kuwa mazingira yanakufanya ufanye maamuzi yanayoendana na mazingira hayo?? Eti mwanaume mzima wa afya kabisa ukae miaka mitatu nchi fulani eti unadumisha mila hivyo hutaki jirusha. Nani ka kuambia hivyo. Hebu tufikirie kwanza kabla ya ku-post thread??

Je kama binadamu unaweza kudumu muda mrefu kiasi gani bila tendo la ndoa (kwa wale ambao ni watu wazima)?? Tusijidanganye.

Yashinda watu wana ndoa au marafiki wao lakini wakisafiri ni kujirusha kwa kwenda mbele na wapenzi wa kiwizi. Sembuse waliko tu na wake zao au marafiki zao karibu na bado wanajirusha nje utasema nini?? Walokole wenyewe yanawashinda. Je habari za Jesse Jackson????? Chunguza hata walokole wachungaji wa Tz kama hujasikia baadhi wana watoto haramu??

Sasa kama hao baadhi niliotaja hapo juu wameshindwa, je wachina walioacha wake au marafiki zao uchinani na kuja kuganga njaa hapa wataishije bila dada zetu?? Tuwe objective zaidi. Sex ni mahitaji muhimu kwa binadamu kama ilivyo mahitaji mengine. Sexual healing!!!!!!!!Bisha.
 
This is some Nazism shyt.

Waafrika tumewapigia kelele sana makaburu kwa sheria za kibaguzi, Wtanzania tunawasema wahindi kwamba hawataki kujichanganya nasi.

Wanakuja Wachina moto chini wanajichanganya kama hawana akili nzuri, tunaanza kelele kwa nini wanajichanganya.

Kila kitu tabu tu.Hivi na ndugu zetu wanaokwenda nchi za watu na kujichanganya na watu wao wakibaguliwa on the basis of race tutajisikiaje? Si tutabeba mabango na kusema hawa watu wabaguzi?

Mbona tunakuwa rahisi kuwa wabaguzi sisis wenyewe?

Nawewe Blu umeoa mzungu nini,hata huko red indians wamekwisha so tusijeshangaa hata sisi akina mwalafyale tukaisha kitu ambacho si kizuri tuache mambo ya kujifanya kila kitu kiko sawqa lazima tulinde asili yetu,huo utamaduni wa kimamtoni kuna siku utawatokea puani,kutetea rangi yako na na utamaduni wako sio ukaburu bwana,lazima tuanagalie muingiliano na hizo mbegu fupi bana mwishowe tutakuwa hatuna utambulisho
 
acheni wachina wazae na dada wa kitanzania kwani wakirudi kwao sheria inamruhusu kuza moto mmoja tu! pia ukienda china ni 'marufuku' kwa raia wao kuzaa na species zingine...imekaa kama vile wanafungwa na sheria za nchi yao eti wasiharibu damu yao.... walinde kizazi...wanaozaa na raia wa nchi zingine wengi wao hawaishi nchini china...

acha uongo, mdogo wangu kaoa mchina na mkewe kajifungua dume chotara, liko safi tu na jamaa hajahama guangzhou mpaka leo. hayuko peke yake wako wengi tu pale
pia uwe na uhakika wa jinsi ya kulitumia neno `species' maana iko species moja tu ya human nayo ni Homo sapiens ambayo inatujumuisha wote wachina, wadhungu, waafrica etc
 
Nawewe Blu umeoa mzungu nini,hata huko red indians wamekwisha so tusijeshangaa hata sisi akina mwalafyale tukaisha kitu ambacho si kizuri tuache mambo ya kujifanya kila kitu kiko sawqa lazima tulinde asili yetu,huo utamaduni wa kimamtoni kuna siku utawatokea puani,kutetea rangi yako na na utamaduni wako sio ukaburu bwana,lazima tuanagalie muingiliano na hizo mbegu fupi bana mwishowe tutakuwa hatuna utambulisho
Kwahio hao wachina ungewakubalia kama ni warefu?

Mbona kuna waafrika wafupi pia.

Kitu kizuri nikwamba hao wadada hawakulazimishwa na mtu bali waliamua wenyewe kuzaa na wachina
 
acheni wachina wazae na dada wa kitanzania kwani wakirudi kwao sheria inamruhusu kuza moto mmoja tu! pia ukienda china ni 'marufuku' kwa raia wao kuzaa na species zingine...imekaa kama vile wanafungwa na sheria za nchi yao eti wasiharibu damu yao.... walinde kizazi...wanaozaa na raia wa nchi zingine wengi wao hawaishi nchini china...

khaa jamani...Ya kweli haya??
mbona China machotara wa kiafrika, kizungu nk wapo tele!! weusi na wazungu kibao tu wameoa wachina huko wanazaa na kuishi kama kawaida, hiyo sheria inayowafunga ni sheria ipi?

na hii habari ya ufupi nayo sijui hata inatoka wapi, unaongelea China ya miaka gani? ukienda china sasa hivi warefu utawakuta na wafupi wapo vilevile. Halafu ufupi sio kilema jamani..hivi kuna tatizo gani kwa mtu kuwa mfupi??
 
Wana JF,

Kwa siku kadhaa sasa, nimekuwa najaribu kufanya utafiti wa kile nilichowahi kuelezwa na rafiki yangu mmoja kwamba Wachina waliozagaa hapa Bongo (na pengine mikoa mingine) wameanza kuzaa na dada zetu.

Kutokana na uchunguzi wangu wa takriban mwezi mzima, nimegundua kwamba ni kweli, maeneo ya Temeke kwa Sokota nimebahatika kuona dada zetu wawili ambao ni majirani wakiwa na vitoto vidogo vya kati ya miaka 2 na 3 vyenye mchanganyiko wa damu (Kichina na Kibongo).

Nilijaribu kumdadisi rafiki yangu ambaye ni fundi wa garage ambako kimsingi nilikuwa nimepeleka gari kwa matengenezo. Akaniambia kama ifuatavyo "Ahaa, unashangaa nini, mbona wako wengi waliozaa na Wachina katika maeneo haya, si unajua Wachina waliokuwa wanajenga uwanja mpya walijichanganya/wanajichanganya sana na dada zetu? Haya ndiyo matokeo"

Sasa nataka nieleweke wazi, lengo langu hapa siyo kuingilia mapenzi na maamuzi ya watu wawili (Mchina na Mswahili), ila ninachokiona ni kwamba tunaanza kuharibu mbegu yetu kwa kuanza kuzaa watu wafupi. Na kwa mtazamo wangu hili swala linaweza kuwa ni kubwa zaidi hasa kwa kuzingatia kwamba wimbi la Wachina kuingia nchini limekuwa ni kubwa sana.

Je tufanye nini?

wewe unasema hivyo kuna wenzio mamia kwa maelfu kama si mamilioni wanafurahiya hilo na pia wanahisi ni ufahari kuonekana kuna rangi rangi ndani ya familia zao zimechanganyika na ndio maana utakuta watu fulani wakikohowa tu kwa sababu za rangi zao na nywele za singa anachukuwa hata mke wa mtu huo ndio ukweli wa Bomgo.wanataka wachanganyike wanasema wawe kama wamarekani si hasha ukakuta hata wakuu wanafurahia kuambiwa nchi yao imechanganuyika na wazungu wachina Nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom