Wana JF,
Kwa siku kadhaa sasa, nimekuwa najaribu kufanya utafiti wa kile nilichowahi kuelezwa na rafiki yangu mmoja kwamba Wachina waliozagaa hapa Bongo (na pengine mikoa mingine) wameanza kuzaa na dada zetu.
Kutokana na uchunguzi wangu wa takriban mwezi mzima, nimegundua kwamba ni kweli, maeneo ya Temeke kwa Sokota nimebahatika kuona dada zetu wawili ambao ni majirani wakiwa na vitoto vidogo vya kati ya miaka 2 na 3 vyenye mchanganyiko wa damu (Kichina na Kibongo).
Nilijaribu kumdadisi rafiki yangu ambaye ni fundi wa garage ambako kimsingi nilikuwa nimepeleka gari kwa matengenezo. Akaniambia kama ifuatavyo "Ahaa, unashangaa nini, mbona wako wengi waliozaa na Wachina katika maeneo haya, si unajua Wachina waliokuwa wanajenga uwanja mpya walijichanganya/wanajichanganya sana na dada zetu? Haya ndiyo matokeo"
Sasa nataka nieleweke wazi, lengo langu hapa siyo kuingilia mapenzi na maamuzi ya watu wawili (Mchina na Mswahili), ila ninachokiona ni kwamba tunaanza kuharibu mbegu yetu kwa kuanza kuzaa watu wafupi. Na kwa mtazamo wangu hili swala linaweza kuwa ni kubwa zaidi hasa kwa kuzingatia kwamba wimbi la Wachina kuingia nchini limekuwa ni kubwa sana.
Je tufanye nini?
Kwa siku kadhaa sasa, nimekuwa najaribu kufanya utafiti wa kile nilichowahi kuelezwa na rafiki yangu mmoja kwamba Wachina waliozagaa hapa Bongo (na pengine mikoa mingine) wameanza kuzaa na dada zetu.
Kutokana na uchunguzi wangu wa takriban mwezi mzima, nimegundua kwamba ni kweli, maeneo ya Temeke kwa Sokota nimebahatika kuona dada zetu wawili ambao ni majirani wakiwa na vitoto vidogo vya kati ya miaka 2 na 3 vyenye mchanganyiko wa damu (Kichina na Kibongo).
Nilijaribu kumdadisi rafiki yangu ambaye ni fundi wa garage ambako kimsingi nilikuwa nimepeleka gari kwa matengenezo. Akaniambia kama ifuatavyo "Ahaa, unashangaa nini, mbona wako wengi waliozaa na Wachina katika maeneo haya, si unajua Wachina waliokuwa wanajenga uwanja mpya walijichanganya/wanajichanganya sana na dada zetu? Haya ndiyo matokeo"
Sasa nataka nieleweke wazi, lengo langu hapa siyo kuingilia mapenzi na maamuzi ya watu wawili (Mchina na Mswahili), ila ninachokiona ni kwamba tunaanza kuharibu mbegu yetu kwa kuanza kuzaa watu wafupi. Na kwa mtazamo wangu hili swala linaweza kuwa ni kubwa zaidi hasa kwa kuzingatia kwamba wimbi la Wachina kuingia nchini limekuwa ni kubwa sana.
Je tufanye nini?