jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
- Thread starter
- #21
mjukuu wangu jitahidi sana kuweka ujumbe wako katika hali ya kueleweka na uzee huu napata tabu kukuelewa.Kuna mtu kama wewe aliwahi fanya research ya watu waliokuwa wanaendesha magari kisha yakapata ajali. Aliwauliza kama walipata breakfast au la. Conclusion yake ikawa wengi wa waliopata ajali walikuwa wamekula mikate. Akarecommend kuwa ili kupunguza ajali, watu wale viazi badala ya mikate.
Conclusion yako haina tofauti na mtafiti wa ajali na mikate!