Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
vijana wengi wa miaka 26 kushuka chini ambao wengi wao ni wanavyuo au wanataaluma mbalimbali wamekuw addicted na mitandao.
Ninaposema addiction namaanisha siku hizi mtu hapitishi siku bila kuingia katika mitandao tajwa hapo juu.
Pia kunahili suala la earphone,wa2 wengi pia wamekuwa addicted na hii technology.tutarajie watu wengi viziwi katika miongo ijayo.
Pia kizaz hiki kikifika maofisini tutarajie matatizo mengi kuanzia kwenye utendaji mpaka kwenye uwajibikaji .
TAIFA LINAPOTEZA NGUVU KAZI
Ninaposema addiction namaanisha siku hizi mtu hapitishi siku bila kuingia katika mitandao tajwa hapo juu.
Pia kunahili suala la earphone,wa2 wengi pia wamekuwa addicted na hii technology.tutarajie watu wengi viziwi katika miongo ijayo.
Pia kizaz hiki kikifika maofisini tutarajie matatizo mengi kuanzia kwenye utendaji mpaka kwenye uwajibikaji .
TAIFA LINAPOTEZA NGUVU KAZI