Kizazi cha dot com na matumizi ya earphones - kuzalisha viziwi duniani?

Mchekechoni

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
279
19
The new generation's life style involves extended usage of ear-phones to listen music day in & day out. Sasa hivi ukikaa na hawa dot.com utakuta wanaongea kwa sauti ya juu, dalili tosha ya kuharibika ngoma za masikio yao. Katika kipindi cha miaka ijayo wanapoelekea uzeeni wengi wao watakuwa viziwi na kuhitaji msaada wa madaktari ili waweze kusikia vizuri. Ukikutana na dot.com na vidude vyake masikioni mpe ushauri wa bure ili usaidie kupunguza idadi ya viziwi duniani katika siku za usoni.
 
Kwani umeambiwa earphone zimeanza kutumika leo basi hao unaosema viziwi sababu ya earphone wangekuwepo tokea huko 19th Century.Hii CRAP TUPU.
 
Msipende kuita vitu crap kwa sababu tu hamna uelewa navyo

Madaktari wanasisitiza watu kupunguza kutumia earphones na kusisitiza kuwa hizi earphones za kisasa ni mbaya kuliko za zamani hivyo risk kuongezeka zaidi sasa

We seeing the kind of hearing loss in younger people typically found in aging adults. Unfortunately, the earbuds preferred by music listeners are even more likely to cause hearing loss than the muff-type earphones that were associated with the older devices; Garstecki said.
 
that the thing ujue wengine wanatumia head phone za bloototh without knowing any impact resulted by those stuffs...... be carefull guyzzzz:A S 39:
 
Naona umeanza kuchanganyikiwa


Kwani umeambiwa earphone zimeanza kutumika leo basi hao unaosema viziwi sababu ya earphone wangekuwepo tokea huko 19th Century.Hii CRAP TUPU.

Msipende kuita vitu crap kwa sababu tu hamna uelewa navyo

Madaktari wanasisitiza watu kupunguza kutumia earphones na kusisitiza kuwa hizi earphones za kisasa ni mbaya kuliko za zamani hivyo risk kuongezeka zaidi sasa

“We’re seeing the kind of hearing loss in younger people typically found in aging adults. Unfortunately, the earbuds preferred by music listeners are even more likely to cause hearing loss than the muff-type earphones that were associated with the older devices,” Garstecki said.

that the thing ujue wengine wanatumia head phone za bloototh without knowing any impact resulted by those stuffs...... be carefull guyzzzz:A S 39:

More headphone use leading to hearing loss. Young people, in particular, face increased risk of damage to ear. More details on

More headphone use leading to hearing loss - Health - Health care - More health news - msnbc.com


 
Back
Top Bottom