Tripo9 JF-Expert Member Sep 9, 2009 4,352 3,533 Apr 24, 2012 #1 Kizazi cha akina lulu mna kazi! Hata kukremu siku hizi hamuwezi...Ni chabo kwa kwenda mbele
Mtambuzi Platinum Member Oct 29, 2008 8,810 15,395 Apr 24, 2012 #2 Mbona inaonekana kama ni LEBO ya Blauzi................!
Wilbert1974 JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,632 478 Apr 24, 2012 #3 Tripo9 said: Kizazi cha akina lulu mna kazi! Hata kukremu siku hizi hamuwezi...Ni chabo kwa kwenda mbele View attachment 52548 Click to expand... Hapa naona ana-COPY from the original... Aliambiwa achore titi nini?
Tripo9 said: Kizazi cha akina lulu mna kazi! Hata kukremu siku hizi hamuwezi...Ni chabo kwa kwenda mbele View attachment 52548 Click to expand... Hapa naona ana-COPY from the original... Aliambiwa achore titi nini?
Tripo9 JF-Expert Member Sep 9, 2009 4,352 3,533 Apr 24, 2012 Thread starter #4 Mtambuzi said: Mbona inaonekana kama ni LEBO ya Blauzi................! Click to expand... We mtambuzi hapa hujatambua bado. Hiyo imepigwa kitaalam wewe msimamizi uone ni lebo...khaaaa!
Mtambuzi said: Mbona inaonekana kama ni LEBO ya Blauzi................! Click to expand... We mtambuzi hapa hujatambua bado. Hiyo imepigwa kitaalam wewe msimamizi uone ni lebo...khaaaa!
MADAM T JF-Expert Member Oct 21, 2010 5,207 2,387 Apr 24, 2012 #5 Mtambuzi said: Mbona inaonekana kama ni LEBO ya Blauzi................! Click to expand... Alijua kwamba watu kama Mtambuzi na miwani yao bado wataona kama ni lebo ya blauzi ndio maana akaibuka na mbinu hiyo..
Mtambuzi said: Mbona inaonekana kama ni LEBO ya Blauzi................! Click to expand... Alijua kwamba watu kama Mtambuzi na miwani yao bado wataona kama ni lebo ya blauzi ndio maana akaibuka na mbinu hiyo..