Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
IGP Mwema na polisi wa Tanzania msionyeshe weakness ya jeshi kwa vitukio vidogo kama hivi, nguvu mnayotumia kutawanya wafuasi wasiozidi 50 ingetumika kuwa 'contain' jeshi lenu lingeheshimika na kupendwa na jamii.
Mnapotumia nguvu kubwa kiasi hicho kwa watu 50 tu tena wanaoimba kwa furaha siku watakapokusanyika elfu 50 kwa shari nafikiri busara itahama vichwani mwenu.
IGP na polisi angalieni picha hizi chini mlinganishe na hizo hapo juu halafu mchanganye na busara zenu.
Tahrir Square Egypt
Tripol Streets Libya.