Kipo Gongolamboto - Bei Maelewano.
mzee kama hutaki kiwanja wenzako watakichukua - sasa kama mtu kaamua kuihama nchi sasa huo utani wewe umeuona wapi?
Hicho Kiwanja ndicho JK ameenda kukitembelea? Competition kali
Wakuu,
Kiwanja kinauzwa hekari Moja 70x70 - kina hati kamili. Kipo Gongolamboto - Bei Maelewano.
Ndani ya eleo hili kuna nyumba ya vyumba 4 self contained, fanya haraka.
Mkuu hapo yaani umenena, kiwanja hicho usishangae kikakizidi kile cha mamtoni ambacho kipo mbali kabisa na kambi za jeshi. Mtu anagoogle bei za viwanja mamtoni ndio anaona ni sawa na kwetu.Chakuelewana mbona sikioni mzee...... Au mnunuzi ndo mtoa offer? Au maelewano na bei husika inabidi kuuliza via PM? Lete bei hapa, maana bei pia italeta hoja za swala zima la bei za viwanja/nyumba Dsm na Tanzania kiujumla - ambalo kwasasa naona liko seriously complicated......