Djumbe Member Apr 8, 2011 39 62 Sep 2, 2012 #1 Kiko Bunju KM 2 toka bagamoyo road, kina ukubwa wa heka 16, kina hati ya kujenga shule, bei ni ml 800
Kiko Bunju KM 2 toka bagamoyo road, kina ukubwa wa heka 16, kina hati ya kujenga shule, bei ni ml 800
Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Dec 21, 2010 2,697 1,962 Sep 4, 2012 #2 mimi nataka kujenga kituo cha mafuta. je kinaruhusiwa au mpaka iwe shule tu?
Djumbe Member Apr 8, 2011 39 62 Sep 4, 2012 Thread starter #3 kina hati ya kujenga shule kwa sasa ila unaweza kubadilisha matumizi kama ukikipenda