Nitaku-pm mkuu, maana gharama za simu toka huku ughaibuni kuja Tz ni sawa na bei ya kiwanja kwa ajili ya kodi za mafisadi.inashuka mkuu we nichek kwenye number hapo juu tuongee,karibu.
sina uhakika ni km ngapi mkuu lakini ni mwendo wa nusu saa kwa miguu au dakika kumi kwa pikipiki kutoka barabarani,karibu.
Habari wakuu..
Kiwanja tajwa hapo juu(nusu eka 70*35) kimeshauzwa leo asubuhi lakini kuna kiwanja kingine hapo hapo kiluvya,kinafikika kwa urahisi,maji na umeme vipo na ukubwa wake ni 60*50 na bei ni mil 6.5
kwa mawasiliano zaidi namba ya simu chek hapo juu
ok. Ni kama Km 3. Thanx
Mkuu inawezekana zikawa km 3. Kuna jamaa yangu anaishi km 3 toka barabarani na unatembea kwa dkk 15 hadi 20. Pia inategemea hali ya barabaraMkuu mwendo wa dakika kumi kwa pikipiki haiwezi kuwa km 3 tu. Na hata kwa miguu huwezi kutembea km 3 kwa nusu saa. Ni kama km 8 hivi.