Kiwanja kinauzwa

gozo

JF-Expert Member
Sep 15, 2011
458
85
Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzur na kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam,ukifika mbezi ya kimara unapanda magari yanaendayo huko mpiji magohe
kwa mawasiliano piga 0657 174 970
 
Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzur na kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam,ukifika mbezi ya kimara unapanda magari yanaendayo huko mpiji magohe
kwa mawasiliano piga 0657 174 970

Mpigi Magohe viwanja vimepimwa?
 
Huko ni jahanam, maana utafikiri kana kwamba uko Tunduru vile kumbe ndani ya Darisalama
 
Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzur na kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam,ukifika mbezi ya kimara unapanda magari yanaendayo huko mpiji magohe
kwa mawasiliano piga 0657 174 970

Asante sana, unatumia muda gani kutoka mbezi ya kimara kufika huko?? Avatar yako nimeipenda!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom