wapalepale
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 259
- 56
samahani wa jf. namba kama kuna mtu anataarifa za kiwanja kinachouzwa maeno ya tabata segerea.. nahitaji nisaidieni
Tafadhali taja ukubwa unaohitaji na uwezo/bajeti yako itasaidia. ninavyo viwanja ila sina mpango wa kuviuza - ukitaja ukubwa na uwezo wako naweza shawishika kuuza.