Kiwanja kinauzwa - mwanza jijini

Tutor B

JF-Expert Member
Jun 11, 2011
9,025
6,554
Kiwanja kipo Igoma - nyuma ya St. Mary Schools, ukubwa ni meta 30 x 40; hakujapimwa ila tayari kuna raia wengi wamejenga huko.
Mwenye kuhitaji anitumie Pm na kama kuna swali linakaribishwa.
 
tafadhhali, give me roughly price interval (i meant bei inarange kiasi gani). PM is my enemy!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom