Kiwanja kinauzwa moshi,boma ng'ombe

drndasika

Member
Oct 14, 2010
58
28
Kiwanja chenye ukubwa wa heka moja na nusu,kuna nyumba yenye vyumba vitatu selfcontainer, imefika kwenye lenta, iko maeneo ya boma moshi, mita 50 kutoka barabara ya moshi -arusha,kinauzwa kwa bei ya shilingi milioni 50,na mazungumzo yapo,kwa atakayehitaji apige 0658640004
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom