Kiwanja chenye ukubwa wa heka moja na nusu,kuna nyumba yenye vyumba vitatu selfcontainer, imefika kwenye lenta, iko maeneo ya boma moshi, mita 50 kutoka barabara ya moshi -arusha,kinauzwa kwa bei ya shilingi milioni 50,na mazungumzo yapo,kwa atakayehitaji apige 0658640004