Wana JF,
Nimetembelea eneo la Kwembe Kati wilayani Kinondoni Dar es Salaam kuonyeshwa kiwanja kinachouzwa ili nikinunue. Nimeonyeshwa eneo ambalo serikali imelipima na eneo walilohamishwa baadhi ya waliokuwa wamiliki. Eneo husika lipo nje ya mpango huo hivyo mmiliki wake ni halali (kwa mujibu wa mwenyeji wangu).
Ndugu zangu naomba endapo kuna mwenye taarifa zitakazonisaidia nisinunue "bomu" nitashukuru maana pesa zenyewe za mkopo.
Nawasilisha
Nimetembelea eneo la Kwembe Kati wilayani Kinondoni Dar es Salaam kuonyeshwa kiwanja kinachouzwa ili nikinunue. Nimeonyeshwa eneo ambalo serikali imelipima na eneo walilohamishwa baadhi ya waliokuwa wamiliki. Eneo husika lipo nje ya mpango huo hivyo mmiliki wake ni halali (kwa mujibu wa mwenyeji wangu).
Ndugu zangu naomba endapo kuna mwenye taarifa zitakazonisaidia nisinunue "bomu" nitashukuru maana pesa zenyewe za mkopo.
Nawasilisha