Kiwanja kinauzwa kwa bei poa

MWAKIGOBE

Member
Nov 1, 2010
65
2
Kiwanja hiki kipo maeneo ya ubungo msewe karibu na chuo kikuu cha dar es salaam.

Kina nyumba mbili ambazo bado hazijapauliwa, na eneo lina miti mizuri ya kivuli.
Bei ni mil. 35 za kitanzania. 0719646407.
 
Kiwanja hiki kipo maeneo ya ubungo msewe karibu na chuo kikuu cha dar es salaam.

Kina nyumba mbili ambazo bado hazijapauliwa, na eneo lina miti mizuri ya kivuli.
Bei ni mil. 35 za kitanzania. 0719646407.

Kina ukubwa gani? kina hati?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom