carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Kwa wale wanaohitaji viwanja, kuna kiwanja/shamba la ukubwa wa hekari tatu kasoro linauzwa. Eneo hilo liko Kifuru (ukivuka segerea) ni eneo zuri kwa ajili ya shamba au makazi maana mji unapanuka sana. Bei ni MILIONI KUMI (10M asking price) kwa mawasiliano zaidi pls PM me au piga namba 0755149715