S SIMPLE X Member Sep 7, 2012 25 1 Sep 15, 2012 #1 Ni voucher ya kiwanja gezaulole, voucher ni ya mil. 8 lakn inauzwa mil. 15
Kamanda Moshi JF-Expert Member Apr 1, 2012 1,876 2,653 Sep 15, 2012 #2 Sijakuelewa mkuu,hebu nipe ukubwa wa hicho kiwanja na bei yake!maana sielew unaposema Voucher unamaanisha nini.
Sijakuelewa mkuu,hebu nipe ukubwa wa hicho kiwanja na bei yake!maana sielew unaposema Voucher unamaanisha nini.
mathematics JF-Expert Member Feb 21, 2012 3,323 1,105 Sep 18, 2012 #3 wewe unayejiita unayejiita jerryz, umezidi sasa kila post unaweka hiyo website yako, sasa ni kama yaani unapiga kelele!!! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
wewe unayejiita unayejiita jerryz, umezidi sasa kila post unaweka hiyo website yako, sasa ni kama yaani unapiga kelele!!!
KANCHI JF-Expert Member Sep 3, 2011 1,533 230 Sep 18, 2012 #4 SIMPLE X said: Ni voucher ya kiwanja gezaulole, voucher ni ya mil. 8 lakn inauzwa mil. 15 Click to expand... Huu U.S.E.N.G.E kwel yaani wa2 wanafanya biashara we ulichukua vocha ya nini bana?
SIMPLE X said: Ni voucher ya kiwanja gezaulole, voucher ni ya mil. 8 lakn inauzwa mil. 15 Click to expand... Huu U.S.E.N.G.E kwel yaani wa2 wanafanya biashara we ulichukua vocha ya nini bana?
Z ZeMarcopolo Platinum Member May 11, 2008 14,017 7,220 Sep 19, 2012 #5 Hivi viwanja si walisema vimegawiwa kwa watu wenye uwezo wa kujenga? Ukifuatilia utakuta huyu mtu wa ardhi kapenyeza jina lake ili awaibie watanzania wenzake!!!
Hivi viwanja si walisema vimegawiwa kwa watu wenye uwezo wa kujenga? Ukifuatilia utakuta huyu mtu wa ardhi kapenyeza jina lake ili awaibie watanzania wenzake!!!