Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,286
- 10,836
Wakuu,
Kuna mtu ameniletea dili la kiwanja kinauzwa huko Tuangoma Kigamboni. Kwa ninavyofahamu kigamboni inaleta mashaka sana hasa pale ambapo kiwanja hakijapimwa kwa kuwa mipango miji mingi inaelekea kule japo si maeneo yote yako katika mpango wa kupimwa. Kabla sijapoteza muda wangu kumchukua mtu wa manispaa Temeke apate coordinates za pale eneo (wanalipwa japo nauli) ninaomba kupata ushauri kama huu mji mpya wa Kigamboni unaishia wapi? Then kama haugusi Tuangoma then itanipa haja ya kuwaona sasa wataalam ili kupata uhakika wa matumizi ya eneo husika. Karibu kwa maoni. Asante.
Kuna mtu ameniletea dili la kiwanja kinauzwa huko Tuangoma Kigamboni. Kwa ninavyofahamu kigamboni inaleta mashaka sana hasa pale ambapo kiwanja hakijapimwa kwa kuwa mipango miji mingi inaelekea kule japo si maeneo yote yako katika mpango wa kupimwa. Kabla sijapoteza muda wangu kumchukua mtu wa manispaa Temeke apate coordinates za pale eneo (wanalipwa japo nauli) ninaomba kupata ushauri kama huu mji mpya wa Kigamboni unaishia wapi? Then kama haugusi Tuangoma then itanipa haja ya kuwaona sasa wataalam ili kupata uhakika wa matumizi ya eneo husika. Karibu kwa maoni. Asante.