Mbona mnakua wezi namna hiyo?
Kigamboni waliuza kwa Tshs 6,000/= kwa Sqr Mtr,
Kwa ukubwa huo bei ya Serikali ni kama 9,876,000/=, yaani hat kama ni kuweka faida but sio parefu namna hiyo,
Nyinyi ndio Mungu anawasubiri kwa hamu siku ya kiama,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.