Kiwanja Ekari 4 Mbezi Bahari Beach Kinauzwa

Boreless

Member
Aug 25, 2009
61
39
  • Kiwanja ni kikubwa sana na kinafaa kwa hotel na biashara zingine zinazohusiana na starehe au utalii
  • Mnunuzi atanufaika na spill-over benefits kutoka kwa mahotel ya mwambao yanayozunguza kiwanja hiki e.g Bahari Beach Hotel
KWA MWENYE HITAJI AWASILIANE MOJA KWA MOJA NA MWENYE MALI:

ALI MALUWA 0717-485-432
 
wale wale wasiotaka kuweka bei, ndo maana biashara zetu hazina mvuto ujanja ujanja mwingi we are not reality, mtu kuweka bei tu anaona taabu, au umekabidhiwa uuze unataka kula cha juu? weka bei acha hizo.
 
Bei gani mkuu?
Kweli weka bei jamani
wale wale wasiotaka kuweka bei, ndo maana biashara zetu hazina mvuto ujanja ujanja mwingi we are not reality, mtu kuweka bei tu anaona taabu, au umekabidhiwa uuze unataka kula cha juu? weka bei acha hizo.
Asanteni sana kwa comment zenu. Lakini ifahamike kuwa Boreless si mwenye mali. Na akijidai kuwa basi yapaswa aitwe DALALI. Naomba zingatia hii sentensi:​
KWA MWENYE HITAJI AWASILIANE MOJA KWA MOJA NA MWENYE MALI:

ALI MALUWA 0717-485-432​
 
Asanteni sana kwa comment zenu. Lakini ifahamike kuwa Boreless si mwenye mali. Na akijidai kuwa basi yapaswa aitwe DALALI. Naomba zingatia hii sentensi:​



KWA MWENYE HITAJI AWASILIANE MOJA KWA MOJA NA MWENYE MALI:​


ALI MALUWA 0717-485-432
Mwenye hitaji ni wewe unaye uza. Mnunuzi anaweza vutiwa na bei.wauzaji ni wengi. Au ujui mteja ni Mfalme? Be a serious saler.
 






asanteni sana kwa comment zenu. Lakini ifahamike kuwa boreless si mwenye mali. Na akijidai kuwa basi yapaswa aitwe dalali. Naomba zingatia hii sentensi:

Kwa mwenye hitaji awasiliane moja kwa moja na mwenye mali:

Ali maluwa 0717-485-432

ondoa hiyo post na futa hii thread....haina maana
 
Mwenzenu anaogopa kuweka bei labda ni mabilioni ya dollar hapo, maana sisi waswahili tutaanza kumsema bei ipo juu. Bora kama unahitaji piga simu na uongee naye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom