Kiwanja kimepimwa na tayari kimewekwa jiwe, ndani yake kuna nyumba 2. eneo lipo sehemu nzuri sana kwa matumizi ya biashara ya Shule , chuo au unaweza badilisha matumizi ili kiendane na matakwa yako, tutakusaidia kufanya hayo. kiwanja kipo Kisarawe mkoani Pwani. bei ni Tsh. 80,000,000.
Pia kuna kingine cha sq 9000 hiki kipo kigamboni Kibada kimepimwa na kipo kwa matumizi ya shule au chuo bei yake ni 300,000,000.
pia kuna heka 50 zipo wilaya Temeke eneo la mvuti, unafika mbagara, unapanda magari yaendayo mvuti hiki hakijapimwa ila serikari ya kijiji cha hapo wanasema ramani waliyopewa na halimashauri inaonesha eneo hilo limetegwa kwa makazi ya watu bei yake ni Tsh,100,000,000.
KWA MAHITAJI YA VIWANJA HIVYO NILIVYOTAJA , NA VINGINE VINGI KAMA MASHAMBA NA NYUMBA ZA KUNUNUA AU MAENEO YA KUWEKA UBIA ( JONT VENTURE) TUWASILIANE 0657 145555, 0755 099 291 NA 0686 200 117 AKIRI.
Pia kuna kingine cha sq 9000 hiki kipo kigamboni Kibada kimepimwa na kipo kwa matumizi ya shule au chuo bei yake ni 300,000,000.
pia kuna heka 50 zipo wilaya Temeke eneo la mvuti, unafika mbagara, unapanda magari yaendayo mvuti hiki hakijapimwa ila serikari ya kijiji cha hapo wanasema ramani waliyopewa na halimashauri inaonesha eneo hilo limetegwa kwa makazi ya watu bei yake ni Tsh,100,000,000.
KWA MAHITAJI YA VIWANJA HIVYO NILIVYOTAJA , NA VINGINE VINGI KAMA MASHAMBA NA NYUMBA ZA KUNUNUA AU MAENEO YA KUWEKA UBIA ( JONT VENTURE) TUWASILIANE 0657 145555, 0755 099 291 NA 0686 200 117 AKIRI.