....ulipowauliza wahusika wa uwanja wa ndege walikujibu nini?
Mkuu Ndibalema, soma kati ya mistari utajua ni kwanini nimeuliza hili swali!Hivi kulikuwa na haja ya kuanzisha Thread?
Mmiliki wa uwanja wa ndege hana dini.........ndio maana hakuna kanisa wala msikiti hapo uwanjani....suluhisho chukua taxi mpaka nje ya uwanja utapata misikiti huko