Kiwanja cha bei nufuu

Kariba1

Member
Aug 20, 2012
75
4
Khabari wanajamii! kiwanja kinauzwa, kipo kwenye eneo zuri lililojengeka kwa mpangilio, huduma za umeme na maji zipo. kiwanja kina ukubwa wa mita 20 kwa 20, kiwanja kipo mapinga upande wa kulia kama unaelekea bagamoyo kutoka dar es salaam bei yake ni ml 3.5. kwa anayehitaji nicheki kwa 0714104788 au 0714107215
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom