Weka bei ndugu yangu..hata ya kuanzia. Halafu hiyo nyumba ni ya aina gani? Chumba kimoja,vitatu au nyumba ya mlinzi? Tuongezee taarifa kwenye tangazo lako tukupigie simu mkuu.
Kiko sehemu nzuri
Asanteni Nyote mliochangia,
Kiwanja ni cha serikali, kimepimwa na kina offer. Kiwanja kinatosha kwa nyumba za kawaida walau tatu.
Kuna nyumba (si ya kisasa ila wamo wapangaji) na mabanda ambavyo kwa pamoja vina vyumba 17.
Mali hii iko karibu kabisa na KARIAKOO tarajiwa. Yaani mahali ambapo baadhi ya shughuli za soko la Kariakoo zitahamia. Kama mjuavyo, magari yote toka shamba yanayoleta bidhaa za chakula Dar yatakuwa yakishushia mizigo hapa Kinyerezi. Na hivyo madalali wote wa mizigo pamoja na magari ya mizigo toka shamba huku ndo itakuwa eneo lao.
BEI: Tshs. 48,000,000/=
BEI: Tshs. 48,000,000/=
Una maana gani ukisema kina offer...yaani kuna mtu kakuambia atakupa kiasi fulani cha pesa, mnada au?
Boreless,
Kumbe kaplot kangu naweza kufetch more than TZS 200,000,000 eeeh? coz ni 2500 Square meters! Karibu na kinyerezi Sec / Primary........!
Hicho kiwanja kiko kinyerezi ipi.....kule karibu na RC au kwa IGP Mwema, Garage, Msikitini, Mwisho wa lami au wapi mkuu?
Boreless,
Hicho kiwanja kiko kinyerezi ipi.....kule karibu na RC au kwa IGP Mwema, Garage, Msikitini, Mwisho wa lami au wapi mkuu?