Kipo eneo la Kwembe _ Mbezi/Kibamba panaitwa Kwembe Kati, Maduka sita - lipo kama 3km from Morogoro Road. Halijapimwa lipo nje ya eneo la mradi, umeme umepita kiwanjani. source: jamaa tu nlikutana nae Mbezi
Naomba kwa anayefahamu anisaidie kunieleza kama ni halali na salama.
Naomba kwa anayefahamu anisaidie kunieleza kama ni halali na salama.