wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Forum nzuri hiii.
Nauliza, mfano nataka nifungue kiwanda cha maji, yaani kufunga mashine mpya, madumu ya maji etc, bora ni ninunue mashine wapi? Mpya za China au used za ulaya?
Je, kuna websites naweza kutembelea kuona kama naweza kupata mashine hizi?
Je chupa itakuwaje?
Nauliza, mfano nataka nifungue kiwanda cha maji, yaani kufunga mashine mpya, madumu ya maji etc, bora ni ninunue mashine wapi? Mpya za China au used za ulaya?
Je, kuna websites naweza kutembelea kuona kama naweza kupata mashine hizi?
Je chupa itakuwaje?