Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 405
sasa wewe bwabwa au punga kwa jina lingine, tatizo lako ninini hata ukashifu hivyo? nilitoa wazo, kama basi tulishindwa yale ya nyumbu, basi hata kufanya joint partnership Toyota au HOnda etc waje waweke plant yao hapa si haba, wewe ungetoa wazo la aina hiyo ili hata kama hatutakuwa na branch yetu baasi tuwe na kiwanda walau cha kuassemble magari kama wanavyofanya south africa na kwingine....utasemaje nakoroma kwa kisiasa wakati nia yangu kuongelea hili sikuwa na nia mbaya, wewe unakuja kuongea kama unatoka kutafunwa kipunga..vipi wewe? kila kitu kwako ni siasa? hata tigo yako unaweza kusema ni ya kisiasa...eheee.
Jamani mbona mna lugha kali hivi duh