JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
wana JF jana nimepata bahati ya kutembelea mjini ifakara, nikaona nisiishie hapo nikafika hadi mtoni kilombero ambapo ni mpaka wa kilombero na ulanga, ila kwa kweli hali ya kivuko sio nzuri sana, ukiangalia hiki kivuko Mv Kilombero II hata kama hakina mtu kinaonyesha dalili ya kuzama, nimewaletea picha hizo hapo wadau mjionee