kaka hizi huitwa immediate solutions sioni ubaya wa kuwa na kivuko toka Bagamoyo mpaka Kivukoni au Kigamboni ni njia mbadala na inaweza kuwa ya haraka zaidi hata kushinda uwepo wa barabara panaKama kaboronga kweli basi huo utakuwa mradi usio na tija. Hayo sio maendeleo kwani kuna ardhi kubwa ya kujenga highway. Mbona vivuko vinahitajika kwa kiu kubwa sehemu nyingi nchini. Siielewi hii serikali yetu na utafiti wao. Badala kuweka bandari Bagamoyo boti za Zanzibar zi dock huko wakaweka highway na pia njia za reli hadi Dar wao wanawaza tofauti. Pumba hizi anataka kumfurahisha bosi wake.
kaka hizi huitwa immediate solutions sioni ubaya wa kuwa na kivuko toka Bagamoyo mpaka Kivukoni au Kigamboni ni njia mbadala na inaweza kuwa ya haraka zaidi hata kushinda uwepo wa barabara pana
Kwa nini gharama zake walipie wakazi wa kigamboni ambao hawatakitumia? 'si awapandishie bei za mabasi na daladala wanaosafiri kati ya dar na bagamoyo!!!! hii inadhihirisha kuwa hata hilo wazo ni la kukurupuka na kutapatapa tu, the last kicks of a dying horse. haliko kwenye ilani ya magamba 2010 wala kwenye mipango ya miundo mbinu ya jiji la dar au bagamoyo. Inaonyesha pia magamba walivyoishiwa uwezo wa kufikiria kutumia vipaji vya ubongo wao.
Sasa tunaambiwa huyu magufuli eti ndo ana nafuu
Dr Magufuli Anawadanganya wajinga ili kuhalalisha ubabe wake. Iweje watu wa Kigamboani na kwingineko vilipo ovuko watozwe fedha zaidi ili kuchangia fedha za kununua pantoni za Dar-Bagamoyo badala ya Serikali kuwekeza raslimali zake kununua vivuko hivyo? Hiki ni kielelzo cha kushindwa kwa Serikali iliyoko madarakani anayoitumikia Dr Magufuli kupanga prioroties zake na hivyo kuwaachaia watendaji wake kutumia ubabe katika nyadhifa zao kufanikisha malengo yao. Vitendo hivi vya Magufuli havina tofauti kabisa na wale askari wa DRC ambao huwa tunaambiwa hawalipwi mishahra ya kutosha hivyo hutumia bunduki zao kufanikisha matakwa ya kukidhi mahitaji yao binafsi.Magufuli pamoja na kuboronga na kauli zake tata ila hili la kununua kivuko kipya cha kutoka Bagamoyo kuja ferry nimelipenda. Litapunguza foleni kwa wakazi wa Bagamoyo na Mbezi.
Swali ni lini kitanunuliwa? na ufisadi uliojaa kwa magamba??
Kwa maelezo yaliyopo ni kwamba kivuko cha sasa Kigamboni kinalipiwa gharama kwa kiasi kikubwa na serikali, hii ina maana hela za kodi za Watanzania wote zinatumika hapo! Kwa namna yako ya kufikiri - je, kwa nini kodi ya mtu wa Mtwara au Loliondo nk imlipie nauli mtu wa Kigamboni?