Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
hehehe ............jamani aaah kuna shoga yangu mmoja kaolewa duh huyo mume alivyokuwa na masharti mie nikihadithiwa hoi!
mwanamke anaambiwa hajui kula uzuri wala kutembea! heheheh ...................hapo uvaaji nao unakosolewa saa zote. mwanamke taabani.
mwanamke anaambiwa hajui kula uzuri wala kutembea! heheheh ...................hapo uvaaji nao unakosolewa saa zote. mwanamke taabani.