Ras
Senior Member
- Mar 16, 2007
- 126
- 6
Wanajamii habari! Nina jamaa yangu mmoja, tumekuwa washikaji kwa muda mrefu sana toka enzi za Sekondari Jite. Jamaa kaoa na bado ndoa yao changa tu kwani ina miezi mitano sasa, jamaa kaniomba ushauri kuhusu tatizo fulani, anasema mke wake anapendelea sana kuvaa pedo na sketi fupi fupi shida ni kuwa mkewe huyu ana miguu mnyembamba sana hali ambayo mshikaji hupendi awe anavaa hivo lakini anashindwa kumweleza aanzie wapi kwani mkewe pengine anaweza jisikia vibaya akiambiwa kuhusu hilo!! Mawazo yenu wana jamii, jamaa afanyaje?:A S 39: