Kivazi cha wanyakyusa.

Hapana Paka Jimmy. Hili vazi ni la wanyakyusa na linaitwa ILYABI ( say: eilyab'hi). Nimewahi kuona miaka ya late 70's ilikuwa ikitengenezwa kwa magome ya miti. Sikuona inavyovaliwa, lakini iliwekwa na babu yetu kama kumbukumbu. Ingawa sikushuhudia, lakini nyaya yetu , yaani mama yake na babu yangu alivishwa hilo vazi alipofariki mwaka 1977.

eheee uligwankati nkamu:smile:
 
Wanyakyusa.jpg

Source:Mzee wa Sumo.

Nani aliyesema au anayesema kuwa utamaduni wa mtanzania ni kuvaa mavazi yanayofunika mwili mpaka chini?


nOOOOO! HAPO BADO WALIKUWA KWENYE STAGE ZA KUBADILIKA KUTOKA NYANI KUJA KUWA BINADAMU!



 
Zaidi sana na weza nikasema huu ni udhalilishaji uliofanywa na wakoloni in the name of missionaries or whatever the dogs.
Kwa kuangalia tu, hao watu hawako katika maisha ya kawaida hapo, aidha kuna sherehe, au kusanyiko fulani, au kitu kama ngoma or the kind!
Hiyo kwa kukadiria ni miaka ya 50-60s, na wana miamvuli kabisa hali inayoonyesha wakoloni/ustaarabu ushaingia huko zamani, isingewezekana hayo yawe ndo maisha ya kila siku!
Wanyakyusa.jpg


PJ,
Hili vazi nimelishuhudia mimi kwa Nyanya yetu Mzaa Babu, (Babu Mzaa mama). Mpaka leo hii Bibi yetu ametunza kama kumbukumbu. Na hizo ni magome ya miti laini sana. Hapo wamekoleza na "Patesi" sijui ni kiingereza au ndo lugha yenyewe. So huu si udhalilishaji, ni mavazi ya kweli enzi hizo za shule za "teti' teti".
a - aliti ngata (a- ni kama kata la kubebea vitu vizito)
e - aliti lupindi (e- yuko kama kibuyu cha kunywea maji)
i-itwikile (i- amejitwisha .)
o- aliti ifumbi (o- yuko kama yai)
u- aliti kikombe! (U-yuko kama kikombe)

Haha........
 
Zaidi sana na weza nikasema huu ni udhalilishaji uliofanywa na wakoloni in the name of missionaries or whatever the dogs.
Kwa kuangalia tu, hao watu hawako katika maisha ya kawaida hapo, aidha kuna sherehe, au kusanyiko fulani, au kitu kama ngoma or the kind!
Hiyo kwa kukadiria ni miaka ya 50-60s, na wana miamvuli kabisa hali inayoonyesha wakoloni/ustaarabu ushaingia huko zamani, isingewezekana hayo yawe ndo maisha ya kila siku!
Wanyakyusa.jpg

PakaJimmy hujasoma vitabu vya kiada, ulisoma vya ziada ukafanya mitihani ukaishia hapo. Hivi juzi juzi tu ndo wamaasai wameanza kuvaa bukta na chupi, kabla ya hapo ni lubega, sime na fimbo chini katambuga. Enzi zetu, watoto wa kike na kiume mpaka wanamaliza la saba hawajui kama kuna chupi miaka ya 1970 tu!

Babu zetu walikuwa wanatusimulia enzi zao walitengenezewa vipande vya ngozi vya kufunika maeneo nyeti tu, kwingine utajiju. Mabinti matiti nje bila wasiwasi! Maadili yalitawala!
 
Kivazi cha aina hii kilikuwa kinaitwa ilyabhi (amaabhi - kwa uwingi).

Na nyie wengine tuelezeni mavazi yenu ya zamani. Nenda kawaulize babu na bibi zenu
 
Back
Top Bottom