haya dada kamtambulishe kwenu huyu basi kama mumeo mtarajiwa kaa ukoo haujakutenga
4.jpg[/IMG]
bwa bwa hili.....ushaliona likiongea? asssh
.... Si maisha binafsi GAIJIN bali ni moral za celebrit wetu zinavyoathiri jamii. Wewe ni shahidi kuhusu mabadiliko ya utamaduni wa mavazi nchini yalivyochangiwa na zile tamthilia za EGOL na nyinginezo... na sasa tunaona mabadiliko kadiri masupastaa wanavyojibadilisha ktk utamaduni wao.Haya bwana.
Mie simo kwenye ku speculate maisha yake binafsi.
bwa bwa hili.....ushaliona likiongea? asssh
yah man......am back....Happy new coming year broda YO YO.
where have you been kaka long time...
Huyu designer kwa kweli ninamtilia mashaka kama morals zake zipo makini ama ndo vile si mwenzetu tena...
Mkuu hujaonekana toka enzi zile za mabomu ya Mbagala hivi mlilipwa fidia kweli ? Utayaweza majibu ya NN kweli ?yah man......am back....
...hilo bwabwa wanafahamiana sana na nyani ngabu
Dadangu wa ukweli hujambo,za x-mas ? heri ya mwaka mpya.Kwa kweli mie ananipa mashaka sna ila nafikiria ni Gay sorry lakini
Mkuu hujaonekana toka enzi zile za mabomu ya Mbagala hivi mlilipwa fidia kweli ? Utayaweza majibu ya NN kweli ?
Dadangu wa ukweli hujambo,za x-mas ? heri ya mwaka mpya.
hamna kitu hapo,dogo bwabwa tu
Mkuu you made my day, thanks.he looks like tafunwable!
he looks like tafunwable!