Kiuno kimeniletea matatizo!

bryleen

Member
Jul 28, 2011
90
24
Jamani yamenikuta mwenzenu leo baada ya kumjibu rafiki wa boyfriend nimefanya kazi mpk kiuno kinauma!eti naulizwa nimemjibu hvyo ili anisaidieje??punguzeni wivu jama khaa!
 
tupunguze sisi au apunguze bf wako?

inawezekana ndio sraili yako ya kutokea vidume na bf wako anaijua,,,lol
 
tupunguze sisi au apunguze bf wako?<br />
<br />
inawezekana ndio sraili yako ya kutokea vidume na bf wako anaijua,,,lol
<br />
<br />
The boss nitake radhi tafadhali coz mi ni m2 mmoja mwaminifu sana
 
anamaanisha.....leo alifanya kazi sana (ofisini labda) sasa akamwambia rafiki wa bf kuwa.....leo alifanya kazi sana mpaka kiuno kinauma.....umeelewa sasa....?
<br />
<br />
Thanx preta afu hata ofcn ucngeweka mabano coz ndiko huko huko nimeinama frm mrng mpk tisa na nusu ndo natoka.
 
sio wivu ni tamaduni tu. kwetu sie binti wa less than 40yrs old huwezi sema waumwa kiuno,ni matusi
<br />
<br />
Jamani mi ckujua coz ndipo palipokuwa panauma afta kuinama kwenye computer cku nzima.itabd niombe msamaha
 
Jamani yamenikuta mwenzenu leo baada ya kumjibu rafiki wa boyfriend nimefanya kazi mpk kiuno kinauma!eti naulizwa nimemjibu hvyo ili anisaidieje??punguzeni wivu jama khaa!

So complicated wd....anyway madayenu ilikua inahusu nini hata neno husika likapata nafasi ....naomba nifahamu hapo kwanza kisha nitoe comment yangu kama mlalamikaji alistahili au laa .........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom